RAIS Jakaya Mrisho Kikwete aanguka jukwaani katika viwanja vya jangwani akihutubia umati wa watanzania katika ufunguzi wa kampeni
Katika picha ni Rais Jakaya Kikwete akiwa amebebwa na walinzi pamoja na wasaidizi wakati alipoanguka Jukwaani Jangwani. kwa taarifa nilizo nazo anaendelea vizuri na alirejea kuendelea na mkutano huo.
0 comments:
Post a Comment