Mhe. Anne Makinda awa spika wa kwamza mwanamke katika bunge la Tanzania

Written By Admin on Friday, November 12, 2010 | 9:22 PM

pongezi za dhati zimfikie Spika wa Bunge. Mhe. Anne Makinda, kwakuchaguliwa kuwa spika wa kwanza mwanamke katika historia ya bunge la tanzania. na hongera pia kwakupata  ushindi wa kishindo dhidi ya mgombea mwenzake Mabele Naucho Marando.


MCHAKATO WA KURA ULIVYOKUWA

Kura zilizopigwa      - 325
Kura zilizoharibika  - 9   (2.7%)
Mabere Marandu   - 53  (16.2%)
Anne Makinda       - 265 (74.2%)

0 comments:

Post a Comment