Planning Officer II - PGSS 10 (4 Positions)

Written By Admin on Wednesday, August 29, 2012 | 10:40 PM

POSITION: Planning Officer II - PGSS 10 (4 Positions)
PLACE: The University of Dodoma

Required qualifications
Bachelor Degree/Advanced Diploma in Economics, Educational Planning, Statistics,
Planning or equivalent from a recognized University/Institution.

Duties and responsibilities:
(i) To assist in collecting information and data on the goals and objectives of the
University.
(ii) To assist in analysing and evaluating data as a basis of formulation of plans.
(iii) To assist in collecting Information on students and staff
(iv) To assist in collecting data on Physical facilities. (plant and equipment by
categories and functions educational programmes, goals and achievements.
(v) To prepare profiles to bring together available statistics on the activities and
resources of each School/Institute and Department.
(vi) To combine and analyses categories of data as basis of plan formulation.
(vii) Performs any other duties as assigned by one’s reporting officer.

GENERAL APPLICATION CONDITIONS:
i. All applicants must be Citizens of Tanzania
ii. Applicants must be less that 45 Years i.e. they are must be born after 1st January 1968
iii. They must attach an up-to-date Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal
address, e-mail address and telephone numbers
iv. They must attach dully filled and sealed referee report forms
v. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement
vi. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the
application letter and marked on the envelope; short of which will make the application invalid
vii. Applicants must attach their relevant certified copies of Academic/Professional certificates i.e. Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates and transcripts; National Form IV and Form VI Examination Certificates; Computer Certificate; Professional certificates from respective boards; One recent passport size picture and birth certificate
viii. Form IV and VI results slips, Testimonials and Partial transcripts are strictly not accepted
ix. Applicants employed by public institutions must route their application letters through
their respective employers.
x. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts
xi. Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU)
xii. Women are highly encouraged to apply
xiii. Application letters should be written in English
xiv. Only short listed candidates will be informed on a date for interview
xv. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action

MODE OF APPLICATION:
Complete application package that consists of application letter supported with detailed
Curriculum Vitae, relevant copies of certificates i.e. Degree/Diploma certificates /testimonials,
academic transcripts plus Secondary School Certificates and dully filled referee report form
which is available at www.udom.ac.tz (for those who cannot access the form must submit names and addresses of at least two referees and mode of communication, e.g. telephone, fax and email) should be submitted to:

DEPUTY VICE CHANCELLOR,
(PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION)
UNIVERSITY OF DODOMA,
P.O. BOX 259
DODOMA
DEADLINE: 10th September, 2012

10:40 PM | 0 comments | Read More

Senior Human Resources And Administrative Officer II - PGSS 14 (1 Position)


Position: Senior Human Resources And Administrative Officer II - PGSS 14 (1 Position)
Place: The University of Dodoma

Required qualifications
(a) Holder of a Bachelor Degree/Advanced Diploma in Public Administration,
Business Administration, Law, Human Resources, Management Education, or its
equivalent from a recognized University/Institution with at least at least work
experience in a similarTHE UNIVERSITY OF
DODOMA
(b) at least five years relevant working experience in a similar position in a reputable
organization/institution preferably a University or an Institution of Higher Learning.
(a) Analytical skills, Good Communication and Human Relations, Computer Literacy
and ability to work under minimum supervision

Duties and responsibilities
* To administer recruitment and placement.
* To participate in reviewing and providing advice on interpretation and
    application of policies, regulations and rules.
* To collect, analyse, update and maintain human resource/students records and
statistics.
* To monitor implementation of security and cleanliness activities.
* To participate in human resources/students enrolment planning.
* To coordinate identified staff training needs.
* To implement strategies for maintaining harmonious working environment.
* To handle issues related to pension and terminal benefits.
* To coordinate staff performance appraisal process.
* To advice and counsel staff in respect to rights, responsibilities, code of conduct
and entitlements.
* Performs any other duties a may be assigned by one’s reporting officer

GENERAL APPLICATION CONDITIONS:
i. All applicants must be Citizens of Tanzania
ii. Applicants must be less that 45 Years i.e. they are must be born after 1st January 1968
iii. They must attach an up-to-date Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal
address, e-mail address and telephone numbers
iv. They must attach dully filled and sealed referee report forms
v. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement
vi. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the
application letter and marked on the envelope; short of which will make the application invalid
vii. Applicants must attach their relevant certified copies of Academic/Professional certificates i.e. Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates and transcripts; National Form IV and Form VI Examination Certificates; Computer Certificate; Professional certificates from respective boards; One recent passport size picture and birth certificate
viii. Form IV and VI results slips, Testimonials and Partial transcripts are strictly not accepted
ix. Applicants employed by public institutions must route their application letters through
their respective employers.
x. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts
xi. Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU)
xii. Women are highly encouraged to apply
xiii. Application letters should be written in English
xiv. Only short listed candidates will be informed on a date for interview
xv. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
MODE OF APPLICATION:
Complete application package that consists of application letter supported with detailed
Curriculum Vitae, relevant copies of certificates i.e. Degree/Diploma certificates /testimonials,
academic transcripts plus Secondary School Certificates and dully filled referee report form
which is available at www.udom.ac.tz (for those who cannot access the form must submit names and addresses of at least two referees and mode of communication, e.g. telephone, fax and email) should be submitted to:

DEPUTY VICE CHANCELLOR,
(PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION)
UNIVERSITY OF DODOMA,
P.O. BOX 259
DODOMA
DEADLINE: 10th September, 2012

10:24 PM | 0 comments | Read More

Kama unapenda kutengeneza mobile apps, HTML5 ndiyo lugha ya kujifunza sasa

Written By Admin on Thursday, September 29, 2011 | 3:06 PM

Kama unapenda kutengeneza mobile apps, HTML5 ndiyo lugha ya kujifunza sasa



Kama ulikuwa unafikiri kwamba itachukua muda kwa HTML5 kutumika zaidi kwenye mobile app basi unajidanganya. Ukweli ni kwamba HTML5 imekubalika na wataalam wengi wa IT duniani kote kama standard kutenegeneza mobile apps. Hii ni kwasababu HTML5 tayari ni web-based standard, tofauti na language nyingine. Application programs nyingi zina uwezo wa kufanya kazi vizuri kwa kutumia browser ambayo imeandikwa kwa kutumia HTML5.
Faida kubwa ya kutumia HTML5 ni developer anaweza kutengeneza HTML5 app inayoweza kufanya kazi kwenye simu yoyote ya mkononi yenye browser nzuri. Hii itaondoa lile tatizo lililopo kwamba app iliyotengenezwa kwa ajili ya platform za simu kwa mfano Android haiwezi kufanya kazi kwenye platform nyingine kwa mfano iOS. Kwa kutumia HTML5 hili tatizo litakuwa halipo tena.
Hadi sasa Linkedln na Pandora zimeshaipitisha HTML5 kama standard ya kutengeneza applications zake. Miaka kadhaa iliyopita Steve Jobs wa Apple alitabiri kwamba HTML5 kuwa standard ya web apps. Apple waliamua kuipa kisogo  Adobe Flash kutoka kwenye platform ya iOS. Kwa sababu Adobe Flash ni plug in application, kumekuwa na shida kwa wengi kutumia application kama You Tube ambayo inatumia Adobe Flash. HTML5 imeondoa tatizo hili, huhitaji tena Adobe Flash kwa sababu una uwezo wa kutumia video moj kwa moja.
Tatizo linaloikwamisha HTML5 kwa sasa ni jinsi program hii itaweza kuuungana vizuri na simu za mkononi zilivyotengenezwa ili kuhakikisha inatumia features zote zilizopo. Hiiinahusiana na features kama kamera, global positioning system (GPS), n.k. Ikumbukwe kwamba application za kawaida za simu zinahusiana vizuri na software ya simu kama vile Android. Hii iniwezesha application hiyo kujenga uhusiano na hardware yenyewe inayoiwezesha kutoa huduma mbali mbali kwa mfano kujua mteja alipo, kutoa direction kwa kutumia ramani, n.k
Kuna mengi mazuri ya HTML5 yanakuja hivyo usiisahau kwenye vitu unavyotakiwa kuvijua japo kidogo

Kutoka blog ya teknolojia :
 http://it4dev.blogspot.com/
3:06 PM | 0 comments | Read More

Sakata la Dowans

Tanzania: Sakata la Dowans

Watanzania wakabiliwa na mgao wa umeme
 
Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya kuridhia malipo ya fidia ya fedha kwa Kampuni ya ya Dowans ambayo ilisajili,tuzo yake iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara (ICC).
Kufuatia uamuzi huo  Shirika la umeme Tanzania Tanesco sasa linatakiwa liilipe Dowans kiasi cha Sh111 bilioni, badala ya Shilingi 94 bilioni za awali ikiwa ni pamoja na riba ya asilimia 7.5.

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, amesema hukumu hiyo ni matokeo ya wanasiasa  kutofuata ushauri wa kitaalam na kuweka mbele maslahi ya kisiasa.

2:16 PM | 0 comments | Read More

Helikopta Ya CCM Yatua igunga, January Makamba na John Magufuli Kusaidia Kampeni Za Lala Salama

Helikopta Ya CCM Yatua igunga, January Makamba na John Magufuli Kusaidia Kampeni Za Lala Salama

Magufuli akimnadi mgombea wa CCM Dk. Dalaly kushoto katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika mapokezi helkopta ya kampeni za CCM.
Magufuli akitete jambo na mgombe ubunge jimbo la Igunga kwa tiketi ya CCM, Dk. Dalaly Kafumu (kulia) kabla ya kuhutubia wakati waliofika katika mapokezi ya helkopta ya kampeni za CCM kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga leo. Kushoto ni Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba.
Waziri wa Ujenzi John Magufuli akisalimia mamia ya wananchi waliofika kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga kupokea ndege ya kampeni za CCM.Wengine ni Nchemba na Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma
Januari Makamba akisalimia mamia ya wananchi waliofika katika mapokezi ya helkopta ya kampeni za CCM ilipowasili leo asubuhi kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini.
ratibu wa Kampeni za CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba akimlaki Januari Makamba baada ya helkopta aliyokuja nayo kutua kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga. Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda.
Mamia ya watu katika uwanja wa sabasaba mjini Igunga katika mapokezi ya helkopta ya CCM.Picha Zote na Mdau Bashir Nkromo-igunga
2:08 PM | 0 comments | Read More

Didier Drogba was delighted to score on his return from injury for Chelsea, notching his side's fourth in yesterday's 4-1 win over Swansea City.

Written By Admin on Sunday, September 25, 2011 | 7:54 PM

Didier Drogba was delighted to score on his return from injury for Chelsea, notching his side's fourth in yesterday's 4-1 win over Swansea City.

The Ivorian international replaced Nicolas Anelka on 78 minutes at Stamford Bridge, having missed three weeks of action following a collision with John Ruddy in the 3-1 win over Norwich City.

Having failed to get on in the Carling Cup clash against Fulham in midweek, Drogba's opportunity was limited to the final 12 minutes of the match, but he took little time to make his mark for Andre Villas-Boas' side.
"I was really happy to be back on the pitch with my friends, with my people as I always call them, and the way the fans were supporting me was fantastic," Drogba told the official Chelsea website post-match.

"I expected to come on and play on Wednesday but it was perfect to come on and score in this game, but I want to look at the team's performance. We were one man down so it was difficult but we played really well.
"We are progressing. We made a lot of changes in the summer with a new manager coming in and it was very interesting the way we played against Swansea, and the second half we had at Manchester United was very interesting as well, so I think we are going to keep progressing."

Fernando Torres and Ramires had put the Blues in control against their Welsh opponents, before the Spanish striker saw a controversial red for the west London side.

Brazilian Ramires added further to the Chelsea lead before Ashley Williams set-up a potential grand-stand finish, only for Drogba to secure the win late-on.
7:54 PM | 0 comments | Read More

Shindano La Vodacom Mwanza Cycle Challenge Kutimua Vumbi Mwezi Ujao

Written By Admin on Wednesday, September 21, 2011 | 4:08 PM

Shindano La Vodacom Mwanza Cycle Challenge Kutimua Vumbi Mwezi Ujao


 Meneja udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mbio za baiskeli "Vodacom Mwanza Cycle challenge"uzinduzi huo umefanyika katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga mbio hizo zitafanyika tarehe 22 mwezi wa kumi mwaka huu zikianzia shinyanga mpaka Mwanza,katikati Mwenyekiti wa chama cha baiskeli cha Mkoa wa shinyanga(Kamwashi) Elisha Eliasi,anaefuata ni katibu wa chama hicho Lukas Bupilipili.
 Meneja udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akionyesha nembo itakayotumika katika mashindano ya mbio za baiskeli "Vodacom Mwanza Cycle challenge 2011"zitakazoanzia Shinyanga hadi Jijini Mwanza mnamo tarehe 22 mwezi wa kumi mwaka huu.kulia Mwenyekiti wa chama cha baiskeli cha Mkoa wa shinyanga(Kamwashi) Elisha Eliasi.
.Baadhi ya waendesha baiskeli wa Mkoa wa Shinyanga wakifanya mazoezi tayari kwa kujiandaa kushiriki mashindano ya mbio za baiskeli "Vodacom Mwanza Cycle challenge 2011"zitakazoanzia Shinyanga hadi Jijini Mwanza mnamo tarehe 22 mwezi wa kumi mwaka huu.
 --
Shinyanga Septemba 21 2011,
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetangaza kuandaa na kuyadhamini mashindano ya baiskeli ya Vodacom Mwanza Cycle Challenge ambayo yamekuwa yenye mvuto wa hali ya juu katika mikoa ya kanda ya ziwa.Mashindano haya yataanzia mjini Shinyanga na kumalizikia Jijini Mwanza mwezi ujao na yatagharimu zaidi ya shilingi milioni 50.

Akizungumza naWaandishi wa Habari,leo/jana, katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga Meneja Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa alisema kwamba mashindano ya mwaka huu yameboreshwa zaidi na kuwaomba waendesha baiskeli kujitokeza kwa wingi.

“Mashindano haya yameboreshwa kwa upande wa zawadi, ubora na viwango, na tofauti na miaka ya nyuma, mashindano ya mwaka huu yatahusisha mikoa miwili muhimu kwa mchezo wa baiskeli kanda ya Ziwa, yani Shinyanga na Mwanza”Alisema.

Alisema mashindano hayo yatafanyika tarehe 22 mwezi ujao na kwamba yatakuwa mbio za kilomita 196 kwa wanaume, 80 kwa wanawake, upande wa walemavu ni Kilometa 15 kwa walemavu wanaume na Kilomita 10 kwa walemavu wanawake.

“Washindi katika kila kundi watapewa zawadi mbalimbali ambazo tutazitangaza baadae,”Alisema.

Alifafanua kuwa mashindano ya mwaka huu ya Vodacom Mwanza Cycle Challenge yameandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa takribani miaka mitano na pia Vodacom ina nia ya kuendelea kuandaa na kukuza mchezo huu ili Tanzania iweze kujulikana zaidi kimataifa katika mchezo huu wa baiskeli.


“Shindano hili la Vodacom Mwanza Cycle Challenge ni mahususi kwa kukuza mchezo huu hapa nchini kwa lengo la kupata wawakilishi bora katika mashindano mbalimbali ya kimataifa,”alifafanua.

Katika kuzingatia kuwa mwaka huu Tanganyika inasherehekea miaka 50 ya uhuru, Vodacom Tanzania itatoa zawadi ya mshiriki mwenye umri wa kuanzia miaka 50 atakaemaliza wa kwanza katika kundi la washiriki 50 wa kwanza. Hivyo amewataka Watanzania wenye uwezo kujiandikisha kwa wingi ili kuweza kushiriki na hatimae kujishindia zawadi kem kem
Nae Mwenyekiti wa Baiskeli Kanda ya Ziwa bwana Elisha Eliya, amesema mwaka huu ili kuleta mabadiliko na kuboresha zaidi mashindano haya, mbio zitaanzia Mkoa wa Shinyanga na kumalizikia Mwanza kwa sababu hii ni mikoa miwili inayoongoza katika uendeshaji wa baiskeli katika kanda hii.

Amewataka wanamichezo wote nchini wanaoshiriki katika mashindano haya kuanza kujiandaa wao pamoja na vifaa vyao vya michezo ili waweze kuwa katika hali nzuri ya kiushindani zaidi.
Ametoa wito kwa washiriki kutoka mikoa yote nchini kujiandikisha kwa wingi na kufika Shinyanga mapema ili kuhudhuria semina ya washiriki wote siku moja kabla ya mashindano.

Bwana Eliya amesema kuwa mashindano ya mwaka huu yatakuwa na ushindani wa hali ya juu kwani njia itakuwa ya moja kwa moja na watahakikisha hakuna mtu atakaeingia kwenye mashindano kati kati ya njia hivyo kupata washindi halali,Na alichukua frusa hiyo kwa kutoa wito kwa makambuni mbalimbali hapa nchini kujitokeza kudhamini mbio hizo.


Vodacom Tanzania imekuwa ikidhamini michezo mbalimbali kama vile Soka, Riadha, kuogelea, mashindano ya boti, mashindano ya Mbuzi, Vodacom Miss Tanzania, Tenisi na mingine mingi ili kuhakikisha kwamba taifa linafanya vizuri katika tasnia nzima ya michezo.
 
Mwisho


 Meneja udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mbio za baiskeli "Vodacom Mwanza Cycle challenge"uzinduzi huo umefanyika katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga mbio hizo zitafanyika tarehe 22 mwezi wa kumi mwaka huu zikianzia shinyanga mpaka Mwanza,katikati Mwenyekiti wa chama cha baiskeli cha Mkoa wa shinyanga(Kamwashi) Elisha Eliasi,anaefuata ni katibu wa chama hicho Lukas Bupilipili.
 Meneja udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akionyesha nembo itakayotumika katika mashindano ya mbio za baiskeli "Vodacom Mwanza Cycle challenge 2011"zitakazoanzia Shinyanga hadi Jijini Mwanza mnamo tarehe 22 mwezi wa kumi mwaka huu.kulia Mwenyekiti wa chama cha baiskeli cha Mkoa wa shinyanga(Kamwashi) Elisha Eliasi.
.Baadhi ya waendesha baiskeli wa Mkoa wa Shinyanga wakifanya mazoezi tayari kwa kujiandaa kushiriki mashindano ya mbio za baiskeli "Vodacom Mwanza Cycle challenge 2011"zitakazoanzia Shinyanga hadi Jijini Mwanza mnamo tarehe 22 mwezi wa kumi mwaka huu.
 --
Shinyanga Septemba 21 2011,
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetangaza kuandaa na kuyadhamini mashindano ya baiskeli ya Vodacom Mwanza Cycle Challenge ambayo yamekuwa yenye mvuto wa hali ya juu katika mikoa ya kanda ya ziwa.Mashindano haya yataanzia mjini Shinyanga na kumalizikia Jijini Mwanza mwezi ujao na yatagharimu zaidi ya shilingi milioni 50.

Akizungumza naWaandishi wa Habari,leo/jana, katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga Meneja Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa alisema kwamba mashindano ya mwaka huu yameboreshwa zaidi na kuwaomba waendesha baiskeli kujitokeza kwa wingi.

“Mashindano haya yameboreshwa kwa upande wa zawadi, ubora na viwango, na tofauti na miaka ya nyuma, mashindano ya mwaka huu yatahusisha mikoa miwili muhimu kwa mchezo wa baiskeli kanda ya Ziwa, yani Shinyanga na Mwanza”Alisema.

Alisema mashindano hayo yatafanyika tarehe 22 mwezi ujao na kwamba yatakuwa mbio za kilomita 196 kwa wanaume, 80 kwa wanawake, upande wa walemavu ni Kilometa 15 kwa walemavu wanaume na Kilomita 10 kwa walemavu wanawake.

“Washindi katika kila kundi watapewa zawadi mbalimbali ambazo tutazitangaza baadae,”Alisema.

Alifafanua kuwa mashindano ya mwaka huu ya Vodacom Mwanza Cycle Challenge yameandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa takribani miaka mitano na pia Vodacom ina nia ya kuendelea kuandaa na kukuza mchezo huu ili Tanzania iweze kujulikana zaidi kimataifa katika mchezo huu wa baiskeli.


“Shindano hili la Vodacom Mwanza Cycle Challenge ni mahususi kwa kukuza mchezo huu hapa nchini kwa lengo la kupata wawakilishi bora katika mashindano mbalimbali ya kimataifa,”alifafanua.

Katika kuzingatia kuwa mwaka huu Tanganyika inasherehekea miaka 50 ya uhuru, Vodacom Tanzania itatoa zawadi ya mshiriki mwenye umri wa kuanzia miaka 50 atakaemaliza wa kwanza katika kundi la washiriki 50 wa kwanza. Hivyo amewataka Watanzania wenye uwezo kujiandikisha kwa wingi ili kuweza kushiriki na hatimae kujishindia zawadi kem kem
Nae Mwenyekiti wa Baiskeli Kanda ya Ziwa bwana Elisha Eliya, amesema mwaka huu ili kuleta mabadiliko na kuboresha zaidi mashindano haya, mbio zitaanzia Mkoa wa Shinyanga na kumalizikia Mwanza kwa sababu hii ni mikoa miwili inayoongoza katika uendeshaji wa baiskeli katika kanda hii.

Amewataka wanamichezo wote nchini wanaoshiriki katika mashindano haya kuanza kujiandaa wao pamoja na vifaa vyao vya michezo ili waweze kuwa katika hali nzuri ya kiushindani zaidi.
Ametoa wito kwa washiriki kutoka mikoa yote nchini kujiandikisha kwa wingi na kufika Shinyanga mapema ili kuhudhuria semina ya washiriki wote siku moja kabla ya mashindano.

Bwana Eliya amesema kuwa mashindano ya mwaka huu yatakuwa na ushindani wa hali ya juu kwani njia itakuwa ya moja kwa moja na watahakikisha hakuna mtu atakaeingia kwenye mashindano kati kati ya njia hivyo kupata washindi halali,Na alichukua frusa hiyo kwa kutoa wito kwa makambuni mbalimbali hapa nchini kujitokeza kudhamini mbio hizo.


Vodacom Tanzania imekuwa ikidhamini michezo mbalimbali kama vile Soka, Riadha, kuogelea, mashindano ya boti, mashindano ya Mbuzi, Vodacom Miss Tanzania, Tenisi na mingine mingi ili kuhakikisha kwamba taifa linafanya vizuri katika tasnia nzima ya michezo.
 
Mwisho
4:08 PM | 0 comments | Read More

President Jakaya Kikwete address the Every Woman, Every Child leaders event

President Jakaya Kikwete address the Every Woman, Every Child leaders event

 President Jakaya Mrisho Kikwete addresses the Every Woman, Every Child Leaders Event of the Global Strategy for women's and Children's Health at the ECOSOC Chamber at the UN Headquarters in New York Tuesday, organised by the UN Secretary-General Mr Ban ki Moon
 President Kikwete stresses a point  during the high-level meeting held at the conclusion of the UN Summit on Non-Communicable Diseases and leading into the High-level Debate of the General Assembly, spearheaded by the UN Secretary-General Ban Ki-moon in  the implementation of the Every Woman Every Child effort in support of the Global Strategy for Women's and Children's Health.
 President Kikwete continues with his speech made on the sidelines of the high-level meeting, during which various side events organized by the World Health Organization, as well as Member States, civil society and the private sector. Several of the events are expected to make the linkages between improving women's and children's health and NCD control, touching on issues such as the adaption of service delivery platforms, integration of health systems, importance of nutrition, and role of health workers, among other topics
 President Kikwete calls for collective efforts in  improving women's and children's health and Non-Communicable Diseases control. The ‘Global Strategy for Women’s and Children’s Health’ sets out how nations can work together to save women and children. The document was developed under the auspices of the United Nations General-Secretary, Ban Ki-moon, with support and facilitation by The Partnership for Maternal, Newborn & Child Health. The Global Strategy was launched at the time of the UN Leaders’ Summit for the Millennium Development Goals (MDGs) in 2010, with some US $ 40 billion pledged towards women’s and children’s health and the achievement of MDGs 4 & 5 – to reduce child mortality and improve maternal health.
 President Jakaya Kikwete and the Prime Minister of Canada Mr Stephen Harper,  co-Chairs  of the UN Commission on Information and Accountability for Women’s and Children’s Health, at the meeting with other panelists. The two leaders were appointed by the UN to oversee an accountability commission to prevent corruption from siphoning away funds.
 Renowned TV journalist with ABC News Christiane Amanpour was MC of the meeting
President Jakaya Kikwete at his table. Behind him in Tanzania's Permanent Representative to the UN Ambassador Ombeni Sefue.
3:10 PM | 2 comments | Read More