Msafara wa rais Kikwete waua Muhutwe (Muleba)

Written By Admin on Tuesday, August 24, 2010 | 9:34 PM


Muda mfupi uliopita, msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukielekea Kamachumu umeua mtoto wa shule ya msingi katika maeneo ya Muhutwe - Muleba Kaskazini.

habari hii inasikitisha sana na ninawapa pole sana familia ya mtoto huyo, na mungu ailaze riho yake pema Ameen..!

0 comments:

Post a Comment