Sasa naamini wengi watakuwa na access ya mtandao zaidi kwa Bongo.
Modem ya Zantel ni Tshs 150,000/= na ya Zain ni Tshs 60,000/=
Modem ya Zantel ni Tshs 150,000/= na ya Zain ni Tshs 60,000/=

Monthly
2GB - 10,000/=
8GB - 50,000/=
ZAIN:
Weekly 3GB - Tshs 15,000/=
Monthly 8GB - Tshs 70,000/=
Quarterly 24GB - Tshs 200,000/=
Yearly 96GB - Tshs 750,000/=
Nadhani tunaelekea kuzuri, wengi wataweza kumudu matumizi ya internet
0 comments:
Post a Comment