Matokeo ya uchaguzi mkuu yanavyozidi kutangazwa imefahamika kuwa Chama tawala CCM kimepoteza m ajimbo 51 nchini kote.Meneja wa kampeni za CCM, Abdulrahman Kinana amekiri mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuwa CCM imemepoteza majimbo has 29 Tanzania Bara na majimbo 22 Visiwani Zanzibar.
Kinana amekiri kuwa athari ya kuanguka kwa CCM inatokana na migogoro ya kura za maoni .
Hata hivyo amesema CCM inatarajia kupata kura za rais kwa kiwango cha asilimia 78.4. Endelea kupata habari zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment