Tamasha la Epiq Nation latikisa Coco Beach Eid El Fitr

Written By Admin on Saturday, September 3, 2011 | 12:51 AM

Tamasha la Epiq Nation latikisa Coco Beach Eid El Fitr

Mfalme wa Muziki wa Bongo Crunk, C- Pwaa akiimba sambamba na wacheza shoo kutoka Norway, Emilie Asla (kushoto) na Otilie Pettersen (kulia) wakati alipotumbuiza katika Tamasha kubwa la Epiq Nation lililoandaliwa na kampuni ya Zantel ikiwa ni katika kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitr kwenye Ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam. 
 
Mkali wa Hip Hop nchini, Roma Mkatoliki akitumbuiza katika Tamasha kubwa la Epiq Nation lililoandaliwa na kampuni ya Zantel ikiwa ni katika kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitr kwenye Ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam. 
 
 
Kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Halisi, Juma Kassim Kiriboto ' Sir Nature' (katikati) akicheza sambamba na waimbaji wake, Mabaga Fresh (kushoto) na YR wakati walipotumbuiza katika Tamasha kubwa la Epiq Nation lililoandaliwa na kampuni ya Zantel ikiwa ni katika kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitr kwenye Ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam. 
 
 
 
 source: fullshangwe blog 

0 comments:

Post a Comment